[featured_image]
Download
Download is available until [expire_date]
  • Version Toleo la pili 2024
  • Download 6
  • File Size 1.01 MB
  • File Count 1
  • Create Date 28 May 2024: 4:14 pm
  • Last Updated 28 May 2024: 5:16 pm

Jinsi ya kupata mkopo wa Elimu ya Chuo Tanzania

Mwongozo wa utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa Stashahada Tanzania

  1. Kusoma na kufuata taratibu za maombi katika Mwongozo
    wa mwaka wa masomo 2023/2024;
  2.  Kuhakikisha kuwa namba ya mtihani wa kidato cha nne
    atakayoitumia mwombaji iwe sawa na aliyoombea udahili
    wa chuo;
  3. Kuhakikisha kuwa fomu ya maombi ya mkopo na mkataba
    zimesainiwa na viongozi wa serikali ya mtaa, mdhamini na
    kamishna wa viapo.;
  4.  Waombaji wajaze fomu zao kwa ukamilifu na kuzisaini kabla
    ya kuziwasilisha HESLB kwa njia ya mtandao;
  5. Kuhakikisha kwamba vyeti vya kuzaliwa/vifo vimethibitishwa
    na Wakala w Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) au Wakala wa
    Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar (ZCSRA) au Afisa
    aliyeteuliwa ili kuthibitisha uhalali wa nyaraka hizo;
  6. Kwa mwombaji mwenye akaunti ya benki ajaze taarifa zake
    kwa usahihi kwenye fomu ya maombi ya mkopo;
  7. Kwa mwombaji mwenye Namba ya simu na kitambulisho
    cha taifa (NIDA) ahakikishe anajaza namba hizo wakati wa
    kuomba mkopo.
  8. Waombaji wote wanakumbushwa kuzingatia muda wa
    mwisho wa kutuma maombi kwa njia ya mtandao.

Pin It on Pinterest