MAFUNZO YA UHAKIKA NA VITENDO KWA ADA NAFUU KABISA
![Student of ESIS on fieldwork Student of ESIS on fieldwork](https://www.esis.ac.tz/wp-content/uploads/2022/06/Student-of-ESIS-on-fieldwork.jpg)
Uongozi wa Chuo cha Madini Shinyanga (ESIS), unatangaza nafasi za masomo elimu ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia katika ngazi ya Cheti na Diploma, kwa muhula wa masomo wa 2024/25.
KOZI ZINAZOTOLEWA
Utafutaji na Uchimbaji wa Madini (Exploration & Mining Geology)
Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia (Petroleum Geology)
- Chuo kimesajiliwa na NACTVET kwa usajili wa namba; REG/SAT/158.
- Mwombaji awe na ufaulu wa kuanzia D nne kwa masomo angalau mawili ya sayansi Au ufaulu wa NVTAL3.
- Kumbuka: Ada inaruhusiwa kulipwa kwa awamu nne (4) kwa mwaka, mwanzoni mwa kila muhula na mwishoni kabla tu ya kuanza mitihani ya muhula
- Hostel zipo kwa watakaowahi kuomba, Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 29/2/2024
![ESIS students on their first ever Graduation ESIS students on their first ever Graduation](https://www.esis.ac.tz/wp-content/uploads/2022/06/ESIS-students-on-their-first-ever-Graduation.jpg)