Jinsi ya kupata mkopo wa Elimu ya Chuo Tanzania

Mwongozo wa utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa Stashahada Tanzania

  1. Kusoma na kufuata taratibu za maombi katika Mwongozo
    wa mwaka wa masomo 2023/2024;
  2.  Kuhakikisha kuwa namba ya mtihani wa kidato cha nne
    atakayoitumia mwombaji iwe sawa na aliyoombea udahili
    wa chuo;
  3. Kuhakikisha kuwa fomu ya maombi ya mkopo na mkataba
    zimesainiwa na viongozi wa serikali ya mtaa, mdhamini na
    kamishna wa viapo.;
  4.  Waombaji wajaze fomu zao kwa ukamilifu na kuzisaini kabla
    ya kuziwasilisha HESLB kwa njia ya mtandao;
  5. Kuhakikisha kwamba vyeti vya kuzaliwa/vifo vimethibitishwa
    na Wakala w Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) au Wakala wa
    Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar (ZCSRA) au Afisa
    aliyeteuliwa ili kuthibitisha uhalali wa nyaraka hizo;
  6. Kwa mwombaji mwenye akaunti ya benki ajaze taarifa zake
    kwa usahihi kwenye fomu ya maombi ya mkopo;
  7. Kwa mwombaji mwenye Namba ya simu na kitambulisho
    cha taifa (NIDA) ahakikishe anajaza namba hizo wakati wa
    kuomba mkopo.
  8. Waombaji wote wanakumbushwa kuzingatia muda wa
    mwisho wa kutuma maombi kwa njia ya mtandao.

ESIS Printable/PDF Application Form for 2024-25

This is the ESIS Printable Application Form for 2024-25 updated on 6 February 2024

Make sure you provide correct information which includes names as they appear in your Form Four and form six academic certificates and other certifications including Birth certificates.

Academic certificate results must correspond to those published in relevant regulatory bodies’ databases- These results will be verified accordingly.

Before you submit, make sure that the checklist is followed correctly

About ESIS

Earth Sciences Institute of Shinyanga (ESIS) is a Private Technical Institute registered by The National Council for Technical and Vocational Education and Training (NACTVET) with Reg. No REG/SAT/058 to offer Geosciences-related courses. ESIS’s head office is located in Shinyanga Municipality

ESIS uses NACTVET-validated curricula and is currently offering Exploration and Mining Geology from Basic Certificate to Diploma. ESIS also offers Petroleum Geology from Basic Certificate to Diploma.

Courses available

  1. Basic Technician Certificate in Exploration and Mining Geology (NTAL4 for one year)
  2. Basic Certificate in Petroleum Geology (NTAL4 for one year)
  3. Ordinary Diploma in Exploration and Mining Geology (NTAL 5 and 6 for 2 yrs)
  4. Ordinary Diploma in Petroleum Geology (NTAL 5 and 6 for 2 yrs)
  5. Ordinary Diploma in Exploration and Mining Geology (NTAL 4, 5 and 6 for 3 yrs )
  6. Ordinary Diploma in Petroleum Geology (NTAL 4, 5 and 6 for 3 yrs)

NB: For a 2-year diploma course, applicants must possess at least a 2.0 GPA pass in relevant NTAL4 from NACTVET-accredited colleges in Tanzania

Entry Requirements

  1. Entry for NTAL4: Applicants must possess at least four (4) D passes from the Certificate of Secondary Education Examination in non-religious subjects. Out of four (4) passes, two (2) must be from science subjects (Physics, Engineering science, Chemistry, Biology, Mathematics and Geography). OR Passed NVTA L3 in Engineering aligned subjects from VETA VETA-registered institutions OR
  2. Entry for NTAL5: Applicants must possess a relevant NTAL4 from NACTVET Accredited college at 2.0 GPA
  3. Entry for NTAL6: Applicants must possess a relevant NTAL5 from NACTVET Accredited college at 2.0 GPA

ESIS Sponsors Declaration Form

Student sponsor is required to personally commit by signing the sponsorship declaration form attached that he/she is going to sponsor you to the extent that is explained in the form

Pin It on Pinterest