Nafasi za kazi Chuo cha Madini Shinyanga
Download
Download is available until [expire_date]
  • Version
  • Download 50
  • File Size 295.81 KB
  • File Count 1
  • Create Date 25 September 2023: 5:45 pm
  • Last Updated 25 September 2023: 5:45 pm

Tangazo la Nafasi za Ajira Msimamizi wa Wanafunzi - Warden

Chuo cha Madini Shinyanga (ESIS), kinawatangazia wananchi wote wenye sifa nafasi ya ajira ya Msimamizi wa Wanafunzi (Warden). Hivyo wahitimu wote kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kuanzia tarehe 10-20 septemba, 2023. Nafasi iliyopo ni kwa wahitimu kuanzia elimu ya shahada na kuendelea.

Pin It on Pinterest