MAFUNZO YA UHAKIKA NA VITENDO KWA ADA NAFUU KABISA

Uongozi wa Chuo cha Madini Shinyanga (ESIS), unatangaza nafasi za masomo elimu ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia katika ngazi ya Cheti na Diploma, kwa muhula wa masomo wa 2022/23.
KOZI ZINAZOTOLEWA
Utafutaji na Uchimbaji wa Madini (Exploration & Mining Geology)
Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia (Petroleum Geology)
- Chuo kimesajiliwa na NACTVET kwa usajili wa namba; REG/SAT/158.
- Mwombaji awe na ufaulu wa kuanzia D nne kwa masomo ya sayansi, Au ufaulu wa NVTAL3.
- Kumbuka: Ada inaruhusiwa kulipwa kwa mikupuo minne (4), mwanzoni mwa muhula na mwishoni kabla tu ya kuanza mitihani ya muhula
- Hostel zipo kwa watakaowahi kuomba, Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 3/10/2022 na Masomo yataanza tarehe 15/10/2022

Kwa maelezo zaidi, fomu ya kujiunga na ada wasiliana nasi kupitia:
Simu 0765434604, 0687434617, email: [email protected] Tovuti: www.esis.ac.tz
WOTE MNAKARIBISHWA
All Courses
Kozi ya Utafutaji wa Madini, Mafuta na Gesi

Uongozi wa Chuo Cha Madini Shinyanga unatangaza Nafasi za masomo elimu ya Madini, Mafuta na Gesi kwa Cheti na Diploma 2022/23. Kozi ni Utafutaji na Uchimbaji wa Madini na Utafutaji wa Mafuta na Gesi
Course Provider: Organization
Course Provider Name: Earth Science Institute Of Shinyanga
Course Provider URL: https://www.esis.ac.tz/