MAFUNZO YA UHAKIKA NA VITENDO KWA ADA NAFUU KABISA

Uongozi wa Chuo cha Madini Shinyanga (ESIS), unatangaza nafasi za masomo elimu ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia katika ngazi ya Cheti na Diploma, kwa muhula wa masomo wa 2022/23.
KOZI ZINAZOTOLEWA
Utafutaji na Uchimbaji wa Madini (Exploration & Mining Geology)
Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia (Petroleum Geology)
- Chuo kimesajiliwa na NACTVET kwa usajili wa namba; REG/SAT/158.
- Mwombaji awe na ufaulu wa kuanzia D nne kwa masomo ya sayansi, Au ufaulu wa NVTAL3.
- Ofa ya kusoma kwa ada ya 50% hadi umalize masomo imesogezwa hadi tarehe 21 Agosti 2022
- Kumbuka: Ada inaruhusiwa kulipwa kwa mikupuo minne (4), mwanzoni mwa muhula na mwishoni kabla tu ya kuanza mitihani ya muhula
- Hostel zipo kwa watakaowahi kuomba, Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 26 Septemba 2022 na Masomo yataanza tarehe 3/10/2022
